A PHP Error was encountered

Severity: Notice

Message: Only variable references should be returned by reference

Filename: core/Common.php

Line Number: 272

HABARI KWA UFUPI 4/7/14 | Blog
Fun!

Current Affairs

HABARI KWA UFUPI

 

Mwanamume mmoja mwenye umri wa makamu alijirusha kutoka ghorofa ya nne mtaani Mwembe Kuku mjini Mombasa baada ya ugomvi wa kinyumbani.

 

jamaa

 

Mahakama kuu jijini Nairobi imetupilia mbali ombi la seneta wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko la kutaka kusitisha mkutano wa Saba Saba utakaoandaliwa na CORD siku ya Jumatatu katika uwanja wa Uhuru Park.

 

Zaidi ya polisi 15,000 kutumika katika kuboresha usalama  jijini Nairobi wakati wa mkutano wa Saba Saba Uhuru Park siku ya Jumatatu.

 

Serikali yaanzisha uchunguzi wa matumizi ya fedha za umma wakati wa ziara za wawakilishi wa wadi kote nchini.



Comments

There are no comments

Post a comment