Current Affairs
#Gavana wa kaunti ya Lamu Issa Timamy anatarajiwa kufikishwa mahakamani alhamisi mjini Mombasa, baada ya kukamatwa jumatano usiku kwa kuhusishwa na mauji ya hivi majuzi maeneo ya Mpeketoni na Witu.
#Mvutano unatarajiwa kushuhudiwa kati ya maafisa wa polisi na muungano wa CORD ambao umeapa kuendelea na mkutano wao wa ijumaa mjini Eldoret, licha ya polisi kuufutilia mbali.
#Zaidi ya watu 21 wamedhibitishwa kufariki baada ya mlipuko kutoka katikakati ya jiji la Abuja nchini Nigeria.
#Mvutano unatarajiwa kushuhudiwa kati ya maafisa wa polisi na muungano wa CORD ambao umeapa kuendelea na mkutano wao wa ijumaa mjini Eldoret, licha ya polisi kuufutilia mbali.
#Zaidi ya watu 21 wamedhibitishwa kufariki baada ya mlipuko kutoka katikakati ya jiji la Abuja nchini Nigeria.
There are no comments